Sunday, March 23, 2008

HERI YA PASAKA!

Leo tunaazimisha kufufuka kwa Bwana Yesu miaka 2000 iliyopita,jambo la kujiuliza ni kwamba, kufa na kufufuka kwake Bwana Yesu kumeleta nini katika maisha yetu?, kumeyabadilisha vipi maisha yetu?
Tutafakari.
Baada ya kutafakari na kujibu maswali hayo tusherekee kwa matokeo ya siku hii ya kusherekea kufufuka kwa Bwana Yesu.
Kufufuka kwake kulileta ukombozi wa miili na roho zetu!
Ni siku ya kumshukuru Mungu kwa hilo na kuyapa kisogo mambo yaliyo maovu!
HERI YA PASAKA!!!