Monday, June 29, 2009

BURIANI PROF HAROUB OTHMAN!

Kweli Duniani tunapita!

Taifa limepoteza msomi, mwanadiplomasia na mwanaharakati wa haki za binadamu ambaye siku zote aliwatetea wanyonge wa Taifa hili, Africa na Duniani kote.

Tutakukumbuka daima Prof Othman, nakuweka kundi moja na kina Prof Chachage kwa kuacha fikra zitakazoishi kwa muda mrefu ndani ya jamii yetu.

Kwaheri Prof Othman.