Tuesday, September 11, 2007

SEPTEMBER 11

Tarehe hii ya leo mawka 2001 itabaki kuwa ya kukumbukwa, ni siku ambayo dunia ilishuhudia unyama na ukatili wa hali ya juu.Ni tukio la kigaidi lililoitikisa dunia. Angalia picha hii ujionee tukio hili la kikatili na kwa habari zaidi angalia hapa.

No comments: